Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania

TCRA Consumer Consultative Council (TCRA-CCC)

Corporate logo

Frequently Asked Questions

In case of any communication challenges, please contact your service provider by visiting nearby shop or Office OR you can reach your Service Provider by calling through 100

2nd Floor, Ministry of Works and Transport Building, 14 Jamhuri Street P.O.BOX 1516, DAR ES SALAAM

Fedha za mtu aliyekufa zilizopo kwenye akaunti au simu yake inatakiwa kufuata utaratibu wa mirathi kama ilivyo kwenye mali nyingine. Hivyo basi mtu aliyeteuliwa kusimamia mirathi ana jukumu la kuchunguza na kukusanya mali zote za marehemu ikiwa ni pamoja na hela za marehemu zilizopo kwenye simu yake ya mkononi au kwenye akaunti za benki.

Unaweza kuthibitisha kuwa umesakiliwa kikamilifu kwa kupiga *106#

Mmiliki wa laini ya simu iliyofungiwa anatakiwa aende kwa mtoahuduma wake akiwa na kitambulisho cha NIDA au Namba ya Utambulisho wa Taifa (NIN) ili aweze kujisalili upya laini yake.

Mtumiaji anaweza kusajili zaidi ya laini moja kwa njia ya biometria.

Huduma ya usajili wa laini za simu kwa biometria inapatikana katika maduka ya watoa huduma za mawasiliano pamoja na mawakala wao waliothibitishwa.

Mtumiaji anapokwenda kusajili laini kwa njia ya biometria anatakiwa awe na kadi ya kitambulisho cha Taifa au namba ya kitambulisho cha Taifa (NIN) alichopewa na NIDA.

No payment required for Biometric Simcard Registration.

All fraud cases are reported to Police stations for legal actions. However you can also send the fraud message and the number used through 15040 for further actions